Waliokufa kwa virusi vya Marburg wafikia 6 Ethiopia
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-27 02:27 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mgonjwa wa kwanza wa Marburg alithibitishwa Ethiopia Novemba 14 na vifo vitatu vya karibuni zaidi viliripotiwa siku tatu baadaye. Wizara ya afya imeripoti kuwa watu 349 waliodhaniwa kuwa walikutana na watu waliothibitishwa kuwa na maambukizi waliwekwa karantini na 119 kati yao wameruhusiwa kutoka baada ya kumaliza kufanyiwa uchunguzi.
--------------------------------------------------------------------