Mkuu wa jeshi aapishwa rais baada ya mapinduzi Guinea-Bissau
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-27 07:21 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Jenerali Horta N'Tam, ambaye hadi sasa alikuwa Mkuu wa Majeshi ya ardhini, ameapishwa Alhamisi tarehe 27 Novemba kuwa Rais wa mpito na Mkuu wa Uongozi wa Kijeshi ili kuongoza Guinea-Bissau kwa mwaka mmoja. Jeshi lilitangaza hayo katika mkutano na waandishi wa habari mjini Bissau, na pia likaeleza kuwa limechukua udhibiti kamili wa nchi hiyo.
--------------------------------------------------------------------