CHADEMA yasema Katiba mpya ni lazima kwa chaguzi huru
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-28 03:05 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza na vyombo vya Habari leo, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Bara, Amani Golugwa, amesema kitendo cha Waziri Mkuu, Nchemba kusema kuwa chama hicho cha upinzani, Tanzania kilisusia uchaguzi na kutaka mabadiliko ya Katiba miezi mitatu kabla ya uchaguzi ni propaganda.
--------------------------------------------------------------------