Trump: Tutawakataa wahamiaji kutoka nchi masikini
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-29 02:19 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika mtandao wake wa kijamii Trump alisema atabatilidha maombi ya mamilioni ya wahamiaji yaliyoidhinishwa na utawala wa rais wa zamani Joe Biden. Hatua hii inaipa sura mpya vita vyake vinavyoendelea kushika kasi dhidi ya wahamiaji nchini humo.
--------------------------------------------------------------------