Mgomo wa wiki tatu wa wauguzi waathiri wagonjwa Kongo

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-29 02:31 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wakaazi wa eneo hilo wametoa malalamiko kwamba vituo vyote vya afya vimefungwa kutokana na mgomo huo. Hakuna wauguzi wanaotoa huduma, wagonjwa wameachwa wajitegemee wenyewe, wengine wako katika hali mbaya, wajawazito hawapati huduma na watoto hawapati hata chanjo. Vilevile huduma za baada ya kuzaa kwa kina mama zimesimama.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]