Marekani kupitia upya hadhi ya uhamiaji ya wakazi wa kudumu
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-28 21:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika ujumbe katika mtandao wa X, Joseph Edlowa, mkurugenzi wa Huduma za Forodha na Uhamiaji za Marekani (USCIS) amesema ameagiza uchunguzi mpya wa kina wa Green Card kwa kila mgeni kutoka kila nchi inayotiliwa mashaka.
--------------------------------------------------------------------