Ujerumani yaishinikiza Ubelgiji kutumia mali ya Urusi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-29 02:49 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Germany
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari pamoja na mwenzake wa Slovenia Robert Golob, Merz alisema lazima wafanye kila wawezalo ili kumaliza vita hivyo na kutumia mali ya Urusi ambayo kwa maoni yake ndio njia inayofaa.
--------------------------------------------------------------------