Operesheni ya kijeshi ya Israel huko Syria yawaua watu 20
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-29 21:39 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wizara ya mambo ya nje ya Syria imesema operesheni ya kijeshi ya Israel kusini-magharibi mwa Syria imesababisha vifo vya watu wasiopungua 20, katika kile ambacho kituo cha ufuatiliaji vita, kimesema kuwa ni uvamizi mkubwa zaidi wa aina hiyo tangu kuondolewa madarakani kwa rais wa zamani Bashar al-Assad.
--------------------------------------------------------------------