Tshisekedi na Kagame kusaini makubaliano ya amani Marekani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-29 21:50 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Marais wa Kongo na Rwanda watasafiri mjini Washington wiki ijayo kwa ajili ya kusaini makubaliano ya amani. Marais hao wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame wanatarajia kukutana pia na Rais wa Marekani Donald Trump wakati wa utiaji saini makubaliano ya mwisho, yanayolenga kufikia amani ya kudumu katika eneo la mashariki mwa Kongo.
--------------------------------------------------------------------