Urusi yaishambulia Kyiv kwa makombora na droni mapema leo

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-29 21:51 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mashambulizi ya droni na makombora ya Urusi katika mji mkuu wa Ukraine wa Kyiv, yamewaua watu wawili mapema leo asubuhi. Meya wa Kyiv Vitali Klitschko alisema watu 15 walijeruhiwa, akibainisha kuwa vifusi vilivyoanguka kutoka kwenye ndege za droni, vimeharibu majengo ya makazi. Ameongeza pia kwamba maeneo ya magharibi ya mji huo yamekatika umeme.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]