Horta N'Ta Na Man aapishwa rais wa mpito Guinea-Bissau
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-28 03:09 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wanajeshi hao, waliojitambulisha kama "Uongozi wa juu wa kijeshi kwa ajili ya kurejesha utulivu" wamesema katika taarifa iliyopeperushwa kupitia televisheni ya taifa kwamba wamemuondoa madarakani Rais Umaro Sissoco Embaló, katika tukio la hivi karibuni kabisa la machafuko katika nchi hiyo ambayo imekumbwa na mapinduzi mara kadhaa.
--------------------------------------------------------------------