Kimbunga Ditwah chasababisha vifo vya watu 123 Sri Lanka
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-29 22:02 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Sri Lanka
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Sri Lanka imeomba msaada wa kimataifa leo wakati idadi ya vifo vilivyotokana na mvua kubwa na mafuriko yaliyochochewa na kimbunga Ditwah, ikipanda na kufikia 123 huku watu wengine 130 hawajulikani walipo. Kituo cha kudhibiti maafa nchini humo DMC, kimesema mfumo mbaya wa hali ya hewa umeharibu nyumba zipatazo 15,000 na kusababisha watu karibu alfu 44,000 kupelekwa kwenye makazi ya muda ya serikali.
--------------------------------------------------------------------