Thailand, Indonesia yaanza kusafisha baada ya mafuriko
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-30 02:18 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Idadi ya vifo kutokana na mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi Kusini-mashariki mwa Asia, imepindukia watu 400 huku shughuli za usafi, utafutaji na uokoaji zikiendelea nchini Indonesia, Thailand na Malaysia.
--------------------------------------------------------------------