Papa Leo XIV apeleka ujumbe wa faraja na matumaini Lebanon
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-30 21:49 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Papa Leo XIV amehitimisha ziara yake ya kwanza nchini Uturuki leo Jumapili na sasa anaelekea Lebanon, akibeba ujumbe wa matumaini kwa watu wake na kuimarisha jumuiya ya Kikristo Mashariki ya Kati. Akiwa Istanbul, Papa alisali katika Kanisa Kuu la Waarmenia na kushiriki ibada na Patriaki Bartholomew, ambaye ni kiongozi wa kiroho wa Wakristo wa madhehebu Orthodox.
--------------------------------------------------------------------