Wasichana 12 waliotekwa Nigeria waachiwa huru
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-01 02:46 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kundi la wapiganaji wa itikadi kali za kiislamu lililowateka nyara wanawake na wasichana zaidi ya 300 kaskazini mashariki mwa Nigeria wiki moja iliyopita limewaachia huru wasichana 12 waliokuwa wamesalia.
--------------------------------------------------------------------