Papa Leo XIV awasili Lebanon na ujumbe wa amani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-01 02:57 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kiongozi wa Kanisa katoliki duniani, Papa Leo wa XIV amewasili nchini Lebanon Jumapili kwa ziara ya siku mbili, ambapo anatarajiwa kutoa ujumbe wa amani. Kwa mujibu wa mwandishi wa AFP aliyekuwa ndani ya ndege ya kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki, amesema Papa Leo ametua Beirut akitokea Uturuki. Papa atakutana na Rais Joseph Aoun, kiongozi pekee Mkristo katika ulimwengu wa Kiarabu, na baadaye atatoa hotuba kwa viongozi na wanadiplomasia katika ikulu ya rais.
--------------------------------------------------------------------