Asia ya Kusini yakumbwa na mafuriko na maporomoko ya ardhi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-01 03:15 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Zaidi ya watu 600 wamefariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa katika nchi za Indonesia, Thailand na Malaysia. Indonesia imeripoti vifo 435, Thailand 170, na Malaysia vifo vya watu watatu, baada ya dhoruba nadra katika Bahari ya Malacca na iliosababisha mvua na upepo mkali kwa wiki nzima.
--------------------------------------------------------------------