Polisi wa Ujerumani walalamikiwa kutumia nguvu kupita kiasi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-01 14:13 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Germany
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Muungano wa maandamano Widersetzen, uliokuwa ukipinga kuanzishwa kwa shirika la vijana linalohusiana na chama cha mrengo mkali wa kulia Alternative für Deutschland (AfD), ulishtumu polisi kwa ukatili dhidi ya waandamanaji katika jiji la Giessen, magharibi mwa Ujerumani.Lakini polisi walisema juhudi zao zililenga kuzuia vurugu kati ya makundi ya kisiasa yanayopingana.
--------------------------------------------------------------------