Papa Leo ahimiza mshikamano na matumaini mapya Lebanon

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-01 13:32 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika sehemu ya pili ya ziara yake ya kwanza ya nje, baada ya kusimama nchini Uturuki, Papa alikutana na Rais wa Lebanon Joseph Aoun na maafisa wakuu katika ikulu ya rais jijini Beirut. Kiongozi huyo alisikika akisema heri wapatanishi wale wanaochagua amani hata pale migogoro inapokuwa rahisi. Kabla ya ziara hiyo, mabango kwenye barabara zilizokarabatiwa yalimkaribisha Leo kama ‘Papa wa Amani.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]