Israel yaua wapiganaji 40 kwenye mahandaki ya Gaza
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-01 13:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Makumi ya wapiganaji wa Hamas wamejificha kwenye mahandaki ya kusini mwa Gaza, chini ya maeneo yanayodhibitiwa na jeshi la Israeli. Kwa siku 40 zilizopita, wanajeshi wamekuwa wakilenga juhudi zao mashariki mwa Rafah, kwa lengo la kuvunja njia za mahandaki zilizobaki katika eneo hilo na kuwaangamiza wanaojificha humo.Vyanzo kadhaa vilivyozungumza na AFP siku ya Alhamisi vimesema kuwa kuwa mazungumzo yanaendelea kuhusu hatima ya wapiganaji waliobaki kwenye mtandao wa handaki kusini mwa Gaza.
--------------------------------------------------------------------