Afrika yasukuma kutambuliwa kwa uhalifu wa enzi za ukoloni
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-01 13:19 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika mkutano uliofanyika Algiers, wanadiplomasia na viongozi walikusanyika kuendeleza azimio la Umoja wa Afrika lililopitishwa kwenye kikao mapema mwaka huu, linalotaka haki na fidia kwa waathirika wa ukoloni.Katika hotuba yake ya ufunguzi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria Ahmed Attaf alisema kuwa uzoefu wa Algeria chini ya utawala wa Kifaransa unaonyesha umuhimu wa kudai fidia na kurejesha mali iliyoibiwa.
--------------------------------------------------------------------