Trump: Kuna nafasi nzuri ya amani kwa mazungumzo ya Ukraine

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-01 13:12 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia, US Politics, War & Conflict
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza ndani ya ndege ya Air Force One, aliielezea Ukraine kuwa na ‘matatizo madogo magumu' na kusema kashfa ya ufisadi nchini humo ‘haiwezi kusaidia.' Trump hakujibu swali la mwandishi iwapo suala hilo litakwamisha mazungumzo ya amani, na muda mfupi baadaye akasema: ‘Nadhani kuna nafasi nzuri ya kufikia makubaliano.' Kwa mara nyingine, Trump alisisitiza imani yake kwamba Urusi na Ukraine zote zinataka kumaliza vita.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]