EU yalaani ukandamizaji wakati wa uchaguzi Tanzania

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-11-28 02:45 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wabunge wa bunge la Ulaya wamelaani vikali ukandamizaji wa baada ya uchaguzi wa Oktoba 29 uliofanyika Tanzania. Katika kikao maalumu kilichojadili hali ya kisiasa baada ya uchaguzi wa taifa hilo Alhamisi, bunge hilo limekosoa vikali matumizi ya nguvu kubwa yaliyofanywa na mamlaka za Tanzania baada ya uchaguzi huku kukiwa na ripoti za makaburi ya pamoja.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]