Australia yavunja mtandao wa 'kishetani' dhidi ya watoto
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-01 21:31 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Australia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Polisi nchini Australia imesema siku ya Jumatatu kuwa imewashitaki watu wanne mjini Sydney, wanaoshukiwa kuwa sehemu ya mtandao wa kimataifa unaosambaza kile ilichokiita maudhui ya ‘kishetani' ya unyanyasaji wa watoto kingono.
--------------------------------------------------------------------