Migogoro yachochea mauzo makubwa ya silaha ulimwenguni
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-01 22:42 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kulingana na takwimu zilizotolewa Jumatatu na Taasisi ya Utafiti wa Amani ya Kimataifa ya Stockholm (SIPRI), kampuni 100 kubwa zaidi ulimwenguni ziliongeza mapato yao ya pamoja kutokana na mauzo ya silaha na huduma nyingine za kijeshi kwa asilimia 5.9 mwaka uliopita na kufikia takriban dola bilioni 679, hiyo ikiwa ni kiwango cha juu zaidi kuwahi rekodiwa.
--------------------------------------------------------------------