Museveni hakushiriki mdahalo wa wagombea wa Urais Uganda

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-01 23:53 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwenye mdahalo huo wagombea watano kati ya wanane wanaoshiriki uchaguzi huo ndio walijitokeza ikiwemo mpinzani mkuu wa Rais Museveni, mwanamuziki aliyegeukia siasa, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine. Kulingana na chama tawala cha NRM, Rais Museveni hakushiriki mdahalo huo kutokana na ratiba ngumu ya kampeni.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]