Israel yawaweka wanajeshi wake Kusini mwa Lebanon
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-02 00:59 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwenye makubaliano yaliyofikiwa Novemba 27, mwaka 2024, yaliyolenga kuumaliza uhasama wa zaidi ya mwaka mmoja kati ya Israel na kundi la wanamgambo linaloungwa mkono na Iran la Hezbollah, Israel ilitakiwa kuwaondoa wanajeshi wake kikamilifu kutoka Lebanon katika kipindi cha siku 60.
--------------------------------------------------------------------