Wahudumu wa afya wapata changamoto Sudan

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-02 01:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika kambi ya Al-Dabbah, maelfu ya familia wamehifadhiwa. Wakimbizi wengi wanaishi kwenye mahema ya plastiki au wanalala juu ya mikeka iliyochakaa. Wakimbizi hawa ambao wengi wao wanatoka kati mji wa Elfasher ambao ni mji mkuu wa jimboa la Darfur na unaoshikiliwa na wapiganaji wa RSF wanaishi katika hali mbaya ya maisha.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]