Herzog kuzingatia maslahi ya Israel msamaha wa Netanyahu

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-02 01:42 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
"Jambo hili litachukuliwa kwa njia sahihi na makini kabisa. Nitazingatia kwa undani maslahi mapana ya Taifa la Israel na jamii ya Kiisraeli." Alisema Rais Herzog kupitia taarifa aliyoitowa siku wa Jumatatu (Disemba 1). Siku ya Jumapili (Novemba 30), Netanyahu alitangaza kwamba alikuwa ametuma ombi la msamaha kwa rais, akisema kesi dhidi yake ambazo "zimekuwa zikichukuwa muda mrefu zinalipasuwa taifa hilo."
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]