Zaidi ya watu 800 hawajulikani waliko baada ya mafuriko Asia
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-02 03:14 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Sri Lanka, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mujibu wa taarifa kutoka nchi hizo tatu za bara Asia, mafuriko na maporomoko ya ardhi yamewaua watu 604 nchini Indonesia, 366 nchini Sri Lanka na 176 nchini Thailand.
--------------------------------------------------------------------