Trump aonya Israel kutoingilia masuala ya Syria

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-02 13:28 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kupitia mtandao wake wa kijamii Truth Social, Rais Trump ameandika "Ni muhimu sana Israel kudumisha mazungumzo madhubuti na ya kweli na Syria, na kuhakikisha hakuna kinachofanyika kitakachozuia mabadiliko ya Syria kuwa taifa lenye ustawi." Trump amekuwa akisisitiza juu ya makubaliano ya usalama kati ya Israel na Syria tangu kuangushwa kwa mtawala wa muda mrefu Bashar al-Assad mwaka mmoja uliopita.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]