Wataalamu wa UN wanashughulikia ripoti ya mazingira
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-02 14:21 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe, US Politics, Environment & Climate
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wanaketi kikao hicho huku makubaliano ya kimataifa kuhusu ongezeko la joto duniani yakikabiliwa na changamoto kutoka kwa Rais wa Marekani Donald Trump, ambaye anadai sayansi hiyo ni "udanganyifu”. Waziri wa Ikolojia wa Ufaransa, Monique Barbut, ambaye nchi yake inakaribisha mkutano wa siku tano katika kitongoji cha Paris, aliwaambia wanasayansi kuwa kazi yao "ya thamani kubwa sana” ni muhimu wakati ushirikiano wa kimataifa umedhoofika.
--------------------------------------------------------------------