Sakata la usalama, Waziri wa Ulinzi wa Nigeria ajiuzulu
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-02 13:34 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kuondoka kwake kunakuja baada ya Rais Bola Tinubu kutangaza "hali ya dharura ya usalama wa taifa” wiki iliyopita, huku nchi ikihangaika kukabiliana na wimbi la utekaji nyara wa watu wengi, ambapo mamia ya watu, hasa watoto wa shule, walitekwa ndani ya siku chache mwezi uliopita.Msemaji wa Tinubu, Bayo Onanuga, alisema katika taarifa kwamba Abubakar, mwenye umri wa miaka 63, anaacha wadhifa huo mara moja kwa sababu za kiafya.Rais wa Marekani Donald Trump mwishoni mwa Oktoba aliitaja Nigeria kuwa Nchi ya
--------------------------------------------------------------------