Wanamgambo wa RSF waliteka eneo la Babanusa, jimbo la Kordof
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-02 21:33 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika taarifa yao, wanamgambo hao wamesema utekaji wa eneo hilo lililoko katika jimbo la Kordofan Magharibi, umefanyika wakati walipokuwa wakizuia shambulizi la kushtukiza kutoka kwa jeshi la Sudan, katika kile walichokiita, "ukiukaji wa wazi wa amri ya kusitisha mapigano kwa ajili ya utoaji wa misaada.
--------------------------------------------------------------------