Trump kukutana na viongozi wa Kongo na Rwanda

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-02 21:29 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza na waandishi habari Jumatatu, Msemaji wa Ikulu ya Marekani, White House, Karoline Leavitt amesema Rais Trump atakutana na marais hao siku ya Alhamisi katika mkutano unaotarajiwa kukamilisha utiaji wa saini makubaliano yaliyofikiwa mwezi Juni na kusainiwa na mawaziri wa mambo ya nje wa Rwanda na Kongo, na mfumo wa kiuchumi uliokubaliwa mwezi Novemba.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]