Mahakama yaruhusu Warusi, Wabelarusi kufuzu Olimpiki
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-03 02:21 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imefungua njia kwa wanariadha wa Urusi na Belarus kushiriki katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya 2026 baada ya kubatilisha marufuku iliyowekwa na Shirikisho la Kimataifa la Michezo ya Ski na Snowboard (FIS). CAS imesema wanariadha wanaokidhi vigezo vya IOC vya kushindana kama washindani huru wanapaswa kuruhusiwa kushiriki katika mashindano ya kufuzu.
--------------------------------------------------------------------