Jeshi la DRC na M23 walaumiana kukiuka kusitisha vita

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-03 13:33 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Lawama hizo zinatolewa ikiwa ni siku mbili kabla ya Ikulu ya Marekani kuandaa hafla ya kusaini makubaliano ya kumaliza mapigano mashariki mwa nchi hiyo. Pande zote mbili zinaumiana kwa kujaribu kuhujumu makubaliano ya amani kupitia mashambulizi katika jimbo la Kivu Kusini. Jeshi limesema wanajeshi wake walishambuliwa katika maeneo ya Kaziba, Katogota na Lubarika na kundi la waasi la M23 pamoja na washirika wake.Corneille Nangaa, kiongozi wa muungano wa waasi unaojumuisha M23, alisema kwenye ukurasa wakw wa X kwamba vikosi vya
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]