Rais Macron kuelekea China kwa ziara ya kikazi ya siku tatu
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-03 13:09 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, South Korea, Australia, Ukraine/Russia, China, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mjibu wa ofisi yake, Macron atapigania ajenda ya ushirikiano katika masuala ya uchumi na biashara inayolenga kufikia uwiano unaohakikisha "ukuaji endelevu, imara na wenye manufaa kwa wote.” Ufaransa inalenga kuvutia uwekezaji zaidi kutoka kwa kampuni za China na kurahisisha upatikanaji wa masoko kwa bidhaa za Ufaransa. Wakati wa ziara hiyo, maafisa kutoka mataifa yote mawili wanatarajiwa kusaini makubaliano kadhaa katika sekta za nishati, chakula na anga.
--------------------------------------------------------------------