Haiti inapanga kufanya uchaguzi wake Agosti 2026

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-03 13:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Duru ya kwanza ya uchaguzi mkuu inatarajiwa kufanyika Agosti 2026, lakini kurejesha usalama kote Haiti ni muhimu kwa ajili ya uchaguzi, kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi ya Muda, chombo kilichotoa amri hiyo na kinachohusika na kuandaa uchaguzi. Mwenyejiti wa tume hiyo Jacques Desrosiers amenukuliwa akisema "Kurejesha usalama ni sharti la awali kwa kufanyika kwa duru ya kwanza” ya uchaguzi wa bunge na urais.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]