Mwandishi ameripotiwa kuuawa Ukanda wa Gaza

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-03 13:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wakati huohuo shirika la habari la Palestina WAFA likitoa taarifa ya kujeruhiwa kwa mwandishi mwingine kwa shambulizi la droni huko katika mji wa kusini wa Khan Younis. Msemaji wa jeshi la Israel amesema vikosi vya jeshi vinafanyia uchunguzi taarifa hiyo. Kwa mujibu wa WAFA, mwandishi aliyeuawa alitajwa kwa jina Mahmoud Wadi.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]