Polisi Uganda wamkaba Bobi Wine katika kampeni za uchaguzi!

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-02 23:55 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Matamshi ya hivi karibuni ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Uganda, Abbas Byakagaba, dhidi ya mgombea urais wa upinzani Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, yameibua wasiwasi mkubwa kwa wafuasi wa chama kikuu cha upinzani cha National Unity Platform, NUP. Kauli zake zimejikita katika lawama za kukiukwa kwa miongozo ya kampeni na vitisho vya kuchukua hatua kali.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]