Rais Samia: “Vurugu zilikuwa mpango wa kuiangusha Serikali"
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-03 01:08 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika hotuba yake maalumu jijini Dar es Salaam, Rais Samia Suluhu Hassan alitoa tathmini nzito kuhusu matukio ya vurugu yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, akisema yameathiri taswira ya Tanzania kama taifa la amani. Alisisitiza kuwa amani ndiyo utambulisho wa taifa, lakini matukio ya hivi karibuni yanaanza kuuteteresha msingi huo.
--------------------------------------------------------------------