WHO: Serikali zapaswa kutanua tiba mpya za VVU

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-01 21:32 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mkurugenzi mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema wanakabiliwa na changamoto kubwa, kutokana na kupunguzwa kwa ufadhili wa kimataifa, pamoja na kukwama kwa juhudi za kuzuia maambukizi mapya ya VVU. Wakati huo huo, amesema kuna fursa kubwa muhimu na tiba mpya zenye uwezo wa kubadili mwelekeo wa janga la Virusi Vya Ukimwi.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]