Trump awashambulia Wasomali Minnesota
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-04 08:20 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza mwishoni mwa mkutano wa Baraza la Mawaziri siku ya Jumanne, Trump alisema anapotazama kinachoendelea katika jimbo la Minnesota, anawaona wasomali wakiiba, na akamuagiza waziri wake wa fedha Scott Bessent afuatilie na kuchunguza kinachoendelea.
--------------------------------------------------------------------