Polisi ya Tanzania: Tumebaini mbinu za waratibu maandamano
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-04 21:52 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kumekuwa na kauli mbalimbali kutoka kwa viongozi wa juu wa Serikali ya Tanzania, akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan, wakikemea maandamano hayo yanayodaiwa kuanza tarehe 9 Desemba. Rais Samia amesisitiza kuwa vyombo vya ulinzi na usalama viko tayari kukabiliana na vitendo vyovyote vinavyoweza kuhatarisha amani, kauli aliyoitoa hivi karibuni alipokutana na wazee jijini Dar es Salaam.
--------------------------------------------------------------------