Israel yashambulia maeneo ya Hamas kusini mwa Gaza
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-04 21:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amesema Hamas Jumatano ilikiuka makubaliano ya kusitisha mapigano baada ya wapiganaji wake kutoka kwenye handaki huko Khan Younis na kuwashambulia wanajeshi wa Israel kwenye eneo ambalo wanalidhibiti.
--------------------------------------------------------------------