Macron aiomba China kusaidia kurejesha amani Ukraine

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-05 02:27 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, Ukraine/Russia, China, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika ziara yake ya siku tatu nchini China, Macron amesema mataifa hayo mawili yanapaswa kushirikiana ili kupata amani na utulivu duniani hasa Ukraine na maeneo mengine yaliyoathiriwa na vita. Kiongozi huyo wa Ufaransa ameyasema hayo wakati ambapo anafanya juhudi za kuishirikisha Beijing katika kuishinikiza Urusi ifanye makubaliano ya kusitisha vita na Ukraine.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]