Marekani yasaini mkataba wa msaada wa afya na Kenya

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-05 21:53 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Maafisa wa utawala wa Trump wamesema makubaliano hayo yatakuwa ya kwanza katika mfululizo wa makubaliano na serikali za nchi zinazoendelea, ambazo zitaombwa kuchangia gharama na kushirikiana na Washington katika vipaumbele vingine. Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio alisaini makubaliano hayo mjini Washington na Rais wa Kenya William Ruto, ambaye alimsifu kwa msaada wake wa ulinzi katika nchi ya Haiti inayokumbwa na matatizo.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]