Droo ya makundi ya WC 2026 kufanyika Ijumaa
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-05 22:19 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kombe la Dunia la 2026 ambalo ndilo gumu zaidi katika historia litafanyika Amerika Kaskazini kuanzia Juni 11 hadi Julai 19, huku timu 16 zaidi zikiongezwa kwenye mashindano hayo ya kimataifa, kutoka mataifa 32 yaliyoshiriki Qatar mwaka wa 2022.
--------------------------------------------------------------------