Pakistan na Afghanistan zashambuliana eneo la mpakani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-06 20:19 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Maafisa kutoka nchi zote mbili wamethibitsha tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia leo, huku kukiwa na mvutano ulioongezeka kufuatia kushindikana kwa mazungumzo ya amani ya juma lililopita. Hakukuwa na ripoti za mara moja kuhusu vifo. Msemaji wa Taliban nchini Afghanistan, Zabihullah Mujahid, alisema kwamba wanajeshi wa Pakistan walifanya mashambulizi katika wilaya ya Spin Boldak, mkoa wa Kandahar.
--------------------------------------------------------------------